Here are all the Kiswahili secondary school lesson plans for all topics. You can also download the editable and pdf lesson plans below.
FREE KISWAHILI LESSON PLANS (FORM 1-4)
MIPANGILIO YA VIPINDI/MASOMO MUHULA WA KWANZA KIDATO CHA PILI
JINA LA MWALIMU:………………………………………………
NAMBARI LA TSC:………………………………………………………
SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………
KIDATO CHA PILI SOMO LA KISWAHILI
MADA KUU: KUSOMA(UFAHAMU) MADA NDOGO :Ndugu majuu na wakazi wa kibabuu
WIKI:………2………………………………………………………NAMBARI LA SOMO:1
TAREHE :…………………………………………………………..WAKATI: DAKIKA 40
SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
- kusoma kwa matamshi
- kutumia msamiati na misemo kwa ufasaha
- kujibu maswali kwa usahihi.
HATUA NA MUDA | YALIYOMO | SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI | NYENZO |
UTANGULIZI(DAK.5) | MaamkiziKupitia somo lililopita | Mwalimu na wanafunzi kuamkianaMaelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita | Wanafunzi wenyeweMatini ya mwalimu |
MWENDELEZO(DAK.30) | Mwalimu kuwaelekeza wanafunzi kusoma ufahamu, kutambua misamiati,misemo,methali na nahau na kuyapa maana kamili kulingana na ufahamu kisha wanafunzi kuyatumia katika utunzi wa sentensi ili kubainisha maana zao kikamilifu | Kusoma ufahamu kwa kina na mantikiMaswali na majibu baina ya mwalimu na wanafunzi kuhusu ufahamuMajadiliano baina ya mwalimu na wanafunziUtunzi wa sentensi | Chemi chemi za Kiswahili 2(uk 1-3)Kamusi ya misemo na nahau(k.w wamithila)Matini ya mwalimuWanafunzi wenyewe |
HITIMISHO(DAK.5) | Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somoZoezi kwa wanafunzi kuhusu somo | Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somoWanafunzi kufanya zoezi | Chemi chemi za Kiswahili 2(uk 1-3)Kamusi ya misemo na nahau(k.w wamithila)Matini ya mwalimuWanafunzi wenyewe |
JINA LA MWALIMU:……………………………………………..
.NAMBARI LA TSC:………………………………………………………
SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………
KIDATO CHA PILI SOMO LA KISWAHILI
MADA KUU: KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA MADA NDOGO : Isimu jamii;
Majadiliano baina ya mwanafunzi na mwalimu
WIKI:…………2…………………………………………………NAMBARI LA SOMO:2
TAREHE :………………………………………………………….WAKATI: DAKIKA 40
SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
- kuelezea sifa za mazungumzo shuleni
- kuweza kuigiza mazungumzo baina ya mwalimu na mwanafunzi
HATUA NA MUDA | YALIYOMO | SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI | NYENZO |
UTANGULIZI(DAK.5) | MaamkiziKupitia somo lililopita | Mwalimu na wanafunzi kuamkianaMaelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita | Wanafunzi wenyeweMatini ya mwalimu |
MWENDELEZO(DAK.30) | Isimu jamii;Majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi;Mwalimu kutoa maelezo ya maana ya isimu jamii na sifa za majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunziMwalimu kuwaelekeza wanafunzi kusoma majadiliano baina ya mwalimu na mwanafunzi na wanafunzi kuweza kuigiza darasani. | Majadiliano baina ya mwalimu na wanafunzi kuhusu sajili ya darasaniMaelezo kutoka kwa mwalimuMajibu na maswali baina ya mwalimu na wanafunziKusoma mazungumzo baina mwalimu na mwanafunziUigizaji wa mazungumzo hayo | Chemi chemi za Kiswahili 2(uk 4-5)Matini ya mwalimuWanafunzi wenyewe |
HITIMISHO(DAK.5) | Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somoZoezi kwa wanafunzi kuhusu somo | Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somoWanafunzi kufanya zoezi | Chemi chemi za Kiswahili 2(uk 4-5)Matini ya mwalimuWanafunzi wenyewe |
JINA LA MWALIMU:……………………………………………..
.NAMBARI LA TSC:………………………………………………………
SHULE :……………………………………………………………MWAKA:……………………………………………………………………
KIDATO CHA PILI SOMO LA KISWAHILI
MADA KUU: SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA MADA NDOGO : Mofimu
WIKI:…………2……………………………………………………NAMBARI LA SOMO:3
TAREHE :…………………………………………………………..WAKATI: DAKIKA 40
SHABAHA : Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
- kueleza maana ya mofimu na aina zake
- kuweza kutambua mofimu katika maneno
- kutaja maana mbalimbali zinazowakilishwa na mofimu
HATUA NA MUDA | YALIYOMO | SHUGHILI ZA MWALIMU NA MWANAFUNZI | NYENZO |
UTANGULIZI(DAK.5) | MaamkiziKupitia somo lililopita | Mwalimu na wanafunzi kuamkianaMaelezo mafupi,maswali na majibu kuhusu somo lililopita | Wanafunzi wenyeweMatini ya mwalimu |
MWENDELEZO(DAK.30) | Mofimu;Mwalimu kutoa maelezo ya maana ya mofimu, aina za mofimu, kuonyesha mofimu katika maneno na kutaja maana mbalimbali zinazowakilishwa na mofimuWanafunzi kusikiliza kwa makini na kuandika maelezo ya mwalimu | Majadiliano baina ya mwalimu na wanafunziMaelezo kuhusu somo kutoka kwa mwalimuMazungumzo baina ya mwalimu na wanafunziMaswali na majibu baina ya mwalimu na wanafunziWanafunzi kuandika maelezo ya mwalimu | Chemi chemi za Kiswahili 2(uk 6-8)Matini ya mwalimuWanafunzi wenyewe |
HITIMISHO(DAK.5) | Mwalimu kutoa maelezo mafupi kuhusu somoZoezi kwa wanafunzi kuhusu somo | Maelezo mafupi, maswali na majibu kuhusu somoWanafunzi kufanya zoezi | Chemi chemi za Kiswahili 2(uk 6-8)Matini ya mwalimuWanafunzi wenyewe |
Check on https://educationnewshub.co.ke/category/teachers-resources/ for more lesson plans.
QUICK LINKS
KCSE/KCPE ONLINE RESULTS PORTAL
KCSE/KCPE ONLINE RESULTS PORTAL
THE KCPE KNEC PORTAL FOR PRIMARY SCHOOLS.
THE KNEC CONTRACTED PROFESSIONALS PORTAL